Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Ujenzi

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

MKUTANO MKUU WA NNE WA WABUNIFU MAJENGO NA WAKADIRIAJI MAJENZI UKUMBI WA MTUMBA HALL DODOMA

19 Oct, 2023 - 20 Oct, 2023
08:00:00 - 17:00:00
DODOMA MTUMBA HALL
atugonza.samwel@aqrb.go.tz

Mkutano wa nne wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) utafanyika tarehe 19-20, 2023 katika Ukumbi wa Mikutano Mtumba

Jinsi ya kujisajili ingia kwenye mfumo wa (https://ors.aqrb.go.tz) kabla ya tarehe 10.10.2023

MKUTANO MKUU WA NNE WA WABUNIFU MAJENGO NA WAKADIRIAJI MAJENZI UKUMBI WA MTUMBA HALL DODOMA