Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi
Previous
Next
Bodi ya wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi(AQRB) Tupo Saba Saba kwenye maonesho ya kibiashara kitaifa ya 50,Karibu kwenye banda letu ambalo lipo ndani ya Banda la Jakaya ili upate kujua zaidi kuhusu huduma zetu.
MAADHIMISHO YA KITAIFA YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026
Maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyofanyika wilaya ya Kongwa,Dodoma
Maadhimisho ya siku yawakina mama Kongwe jijini Dodoma
Kaimu Msajili, Arch, Dkt, Daniel Gittu Matondo akizungumza na wafanyakazi wa AQRB wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi jijini Dodoma
Kaimu Msajili Arch. Dkt Daniel Gittu Matondo kushoto kwenye picha ya pamoja akiwa na wageni waalikwa kutoka Wizara ya Ujenzi wakati
wa mkutano wa Baraza la wafanyakazi jijini Dodoma
Picha ya pamoja wakati wa michezo wa mpira wa miguu kati ya team A and team B. baada ya Mkutano wa Baraza la wafanya kazi
Mchezo wa kuvuta kamba Team B wanaume kwa Team A wanaume baada ya kikao cha Baraza la wafanyakazi
Hongera Makamu Wa Rais Dkt . Emmanuel John Nchimbi