Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
Bodi inatambua aina mbalimbali za wataalamu na wanafunzi. Usajili unategemea hadhi ya muombaji:
Hadhi
Maelezo ya Usajili
Mwanafunzi / Mhituumu (Graduate)
Kwa mhitimu wa shahada inayotambuliwa katika Ubunifu Majengo, Ukadiria...
Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) ilianzishwa awali mwaka 1972 chini ya Sheria ya Bodi ya mwaka 1972. Uanzishwaji wake rasmi kama chombo cha kisheria cha kusimamia usajili na udhibiti wa taaluma za Usanifu Majengo na Ukadiriaji Majenzi ulifanyika mwaka 1997 kupitia Sh...
Tovuti Rasmi
Tembelea www.aqrb.go.tz – hapa unaweza:
Kujua historia ya Bodi, sheria na mamlaka yake
Kusoma habari za usajili wa wataalamu na wanafunzi
Kupata fomu za maombi mtandaoni na taarifa za ada
Ofisi Kuu ya Bodi
Tembelea moja kw...