Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Ujenzi

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

MKUTANO MKUU WA NNE WA WABUNIFU MAJENGO NA WAKADIRIAJI MAJENZI KUFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MTUMBA HALL DODOMA

Imewekwa: 14 Aug, 2023
MKUTANO MKUU WA NNE WA WABUNIFU MAJENGO NA WAKADIRIAJI MAJENZI  KUFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MTUMBA HALL DODOMA

Mkutano Mkuu wa Nnne wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), Utakaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Mtumba Tarehe 19-20 Octoba 2023

Jisajili kupitia (https://ors.aqrb.go.tz). Tafadhali hakikisha Usajili wako kabla ya Tarehe 10.10.2023