Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Ujenzi

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

AQRB WASHIRIKI SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI

Imewekwa: 05 May, 2025
AQRB WASHIRIKI SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI

Bodi ya Usajii Wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB)  imemtangaza Bi. Elizabeth Kapemba  kulia kuwa mfanyakazi bora wa AQRB kwa mwaka 2025, baada ya kuibuka mshindi kwa kupata kura nyingi dhidi ya washindani wengine. Uchaguzi wa mfanyakazi bora wa AQRB  ulifanyika Mei 1 mwaka huu baada ya kuwashindanisha baadhi ya wafanyakazi kutoka katika idara na vitengo kwa kupigiwa kura na watumishi wote na Mchakato huu Uliratibiwa na uongozi wa TAMICO kisha manejimenti kupitisha baada ya mchakato kukamilika.