Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Ujenzi

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

MKUU WA WILAYA YA DODOMA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI

Imewekwa: 27 Apr, 2023
MKUU WA WILAYA YA DODOMA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe: Jabir Shekimweri akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Nane ( 8 ) wa mwaka 2023 wa Baraza la Wafanyakazi wa Bodi.