Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Ujenzi

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

Utambulisho elekezi kwa wahitimu

21 Aug, 2026
08:00:00 - 05:00:00
DAR ES SALAAM
erick.raphael@aqrb.go.tz

Wahitimu wa kada za Ubunifu Majengo (Architects) na Ukadiriaji Majenzi (Quantity Surveyors). na kada zingine zinazo shahabiana nazo wakiwa katika mafunzo yaliyoandaliwa na AQRB yenye lengo la kutoa uelewa wa kuzifahamu taratibu za Bodi kabla ya kuanza kufanya usajili. Mafunzo hayo yalifanyika tarehe 21/08/2026 katika ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar Es Salaam

Utambulisho elekezi kwa wahitimu