SHEREHE YA MAHAFARI YA TATU
SHEREHE YA MAHAFARI YA TATU
21 Aug, 2026
08:00:00 - 17:00:00
DAR ES SALAAM
erick.raphael@aqrb.go.tz
Wanataaluma wa kada za Ubunifu Majengo (Architects) na Wakadiriaji Majenzi (Quantity Surveyors) na Kada zingine zinazoshabihiana nazo wakiwa kwenye picha ya pamoja katika sherehe za mahafali ya tatu (3rd) ya Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriarji Majenzi (AQRB) zilizofanyika tarehe 21/08/2026 katika Ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar es salaam